Zuchu, after the premiere of her first song titled “Moyo Wangu” under WCB Wasafi drops another tune tagged “Mauzauza” featuring Khadija Kopa.
This impressive sound serves as Track 7-Seven on her first studio project dubbed “I Am Zuchu”, which she officially on 15 April 2020.
Check out the Melody of this tune and enjoy it with the volume of your speaker on the 100 level.
Listen up below!.
DOWNLOAD MP3
LYRICS
Shunuaa usijipe mapana
Eti mwili kujitutumusha
Nitakutawanya ka bahari na fimbo ya Musa
Umejigeuza Sudi
Sio wa Corora wala Vogi
Na hilo wowowo la kufoji
Eti linakupa kodii
Ohh leo unikome mwenye kiranga
(Mwenye kiranga)
Hujanijua vizuri
Hili timbwili la vanga
(Mwenye kiranga)
Ooh leo mbona umeyabananga
(Mwenye kiranga)
Mi maskini jeuri
Sitegemei madanga
(Mwenye kiranga)
Mauzauza we mwana mauzauza
Si wamekushindwa kwenu
Walimwengu tutakufunza
Mauzauza we mwana mauzauza
Si wamekushidwa kwenu
Walimwengu tutakufunza
Mwali kigego mwenye nyota ya mitaala
Hivi kungwi wako nani wewe?
(Atajijuaaa)
Uso mitego imedoda biashara
Hueleweki si kunguru si mwewe
Wadala ubaki dala
Mwenzio mimi kibunda
Haufai kwa kafara
Si mbuzi wewe ni punda
Umejivisha ubazazi
Kwa mapana na marefu
Uso na kazi
Si wa ndala wala peku
Ooh ooh
Ondo ondo mlezi wa wana
We budege zoa zoa
Mwali pengo binti mwanya
Chuchunge kwa kudonyoa
Ooh leo unikome mwenye kiranga
(Mwenye kiranga)
Hujanijua vizuri hili timbwili la vanga
(Mwenye kiranga)
Ohh leo mbona umeyabananga
(Mwenye kiranga)
Me maskini jeuri, sitegemei madanga
(Mwenye kiranga)
Mauzauza we mwana mauzauza
Si wamekushindwa kwenu
Walimwengu tutakufunza
Mauzauza we mwana mauzauza
Si wamekushidwa kwenu
Walimwengu tutakufunza
Hutayaweza yangu yako yanakushinda
Hutayaweza yangu yako yanakushinda
Hutayaweza yangu yako yanakushinda
Hutayaweza yangu yako yanakushinda
Hutayaweza yangu yako yanakushinda
Hutayaweza yangu yako yanakushinda