“Napambana” Is another brand new hot and astonishing bongo-flava single created by a talented Tanzanian afro-pop singer, Zuchu.
And this wonderful tune was officially released on 2 March 2023 through Ziiki Media.
We would like you to add this undeniable hit song to your playlist, you won’t regret it yuh.
Listen up below!.
DOWNLOAD MP3
LYRICS
Naamka asubuhi sina ata buku sh dala
Chakukila sijui bora ata pakulala
Nyumbani matandabui mende wamefanya utawala
Na mjomba panya haelewi ridhiki yake hasara
Eeh! Kwacha kwacha nakwenda nakwenda
Sijakubali kudoda hii ngoma isambii
Na ndoto za alinacha sijapenda sijapenda
Aliekupa kigoda mie atanipa kumbi
Nipate ntoke patupu (kawaida hiyo)
Siku nzima niambulie buku (yakwangu sijaiba hiyo)
Husiniulize naishije mjini (napambana)
Niokote machupa niuze siso (napambana)
Ata nkidanga jamani hacheni(napambana)
Niwe kondana ubungo migomigo (napambana)
Aaah eeeh iiih (napambana)
Aaah eeeh oooh (napambana)
Maji ya mdimu maji ya mdimu (saga saga saga saga)
Eeh Mungu wangu baba baba baba
Ziitikie dua zetu waja
Wapate magari sita nane saba
Tuvae gucci fend namikwada
Wewe acha kumbwela
Mungu habagui anawapa hadi ngedere
Uh wewe (wewe tafuta hela wanaokudharau watakuheshimu mbele)
Eh! Nipate ntoke patupu (kawaida hiyo)
Eti Siku nzima niambulie buku (yakwangu sijaiba hiyo)
Husiniulize naishije mjini (napambana)
Niokote machupa niuze siso (napambana)
Ata nkidanga jamani hacheni(napambana)
Niwe kondana ubungo migomigo (napambana)
Aaah eeeh iiih (napambana)
Aaah eeeh oooh (napambana)
Mikono juu mikono juu mikono juu
Wapambanaji mikono juu mikono juu
Sasa husimcheke aloshindia chunga
(Aliekula kala)
We wa biriani shibe hile hile (aliekula kala)
Maharage roho ugali kilo kumi (aliekula kala)
Ukikula pizza bagger shibe hile hile (alikula kala)
Mama aliekula kala (alikula kala)
Aah aliekula kala (alikula kala)la kala)
Do you find Sheldox useful? Click here to give us five stars rating!