“My Life” Is a brand new hot and astonishing R&B/Soul single by a heavily talented Tanzania recording artiste, Marioo.
This melodious masterpiece “My Life” Will be acting as Track-One on Marioo’s forthcoming album project “The Kid You Know” Which will be available on 9 December 2022 under the label Bad Nation.
Check out the Melody of this tune and enjoy it with the volume of your speaker on the 100 level.
Listen up below.
DOWNLOAD MP3
LYRICS
VERSE 1
Wanasemaga nabii hakubaliki kwao (kwaooo)
Hata mi walikuwepo wakunipinga kitaani
Walisemaga wahenga eti mtu kwao (kwaoo)
Wachache walikuwepo wakaniamini kitaani
Aaah kutoka home mpaka studio kwa miguu
Viwalo vipya kutupia sikukuu
Nguo mbaya imepaukaa kuukuu
Kula yangu anayeijua aliye juu
Mmmh, yeeaah, aaah
BRIDGE
Mungu hakunyimi vyote
Akikupa kilema atakupa na mwendo
Sawa sijasoma ila kanipa kipaji nitimize malengo
CHORUS
Never never never, never give up (never)
Never never never, never give up (never)
VERSE 2
Ilikuwa kama movie ila tumeishi kwa raha
Wanaotukwamishaga tunawaona kama changamoto
Leo imekuwa kama movie ila tumeishi kwa raha
Tuna mipira na kila zana ujana maji ya moto
Asante sana kwa kunifanya superstar
Leo najulikana kila kona ya mtaa
Asante mama mwanao kipenzi cha watu
Napendwa sana kona zote za mtaa
BRIDGE
Mungu hakunyimi vyote
Akikupa kilema atakupa na mwendo
Sawa sijasoma ila kanipa kipaji nitimize malengo
CHORUS
Never never never, never give up (never)
Never never never, never give up (never)